Tuesday, May 7, 2019

VIDEO: Wakili anaedaiwa kupotea afikishwa mahakamani

SHARE

Hakimu wa mahakama ya wilaya Mkoani Arusha Benard Nganga,na wenzake wanne wakiwemo mawakili wa serikali  wamepandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka kumi na moja yakiwemo ya uhujumu wa uchumi na utakatishaji wa fedha.

Akisoma mashtaka hayo mbele ya Hakimu mfawidhi Niku Mwakatobe wa mahakama ya hakimu mkazi Arusha Mwendesha mashtaka wa serikali Javelin Rugailuza amewataja washtakiwa wengine ni Maneno Mbunda wakili wa shirika la hifadhi za Taifa (Tanapa),Fortunatus Mhalila na Tumaini Mdee wote ni mawakili wa serikali na mfanyabiashara Nelson Kangero.

SHARE

Author: verified_user

0 Comments: